Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa
Ndege wa Tabora leo tarehe 06 Juni 2023. Makamu wa Rais amewasili Mkoani Tabora
kwaajili ya Ufunguzi wa Mashindano ya UMITASHUMTA na UMISSETA yanayofanyika
katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi.
TANZANIA KUNUFAIKA NA PROGRAM YA BENKI YA DUNIA YA KUENDELEZA KILIMO
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba
(kushoto),akiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia, anayesimamia
Kundi la Kwanza la nc...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment