Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa
Ndege wa Tabora leo tarehe 06 Juni 2023. Makamu wa Rais amewasili Mkoani Tabora
kwaajili ya Ufunguzi wa Mashindano ya UMITASHUMTA na UMISSETA yanayofanyika
katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi.
TUTUBA AWATAKA WACHIMBAJI KUTOTEMBEA NA FEDHA TASLIM
-
Na Gift Thadey, Geita
GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Emmanuel Tutuba amewasihi wachimbaji
wa madini nchini kutotembea na fedha taslim mifukoni ...
11 minutes ago
No comments:
Post a Comment