Kikosi cha Timu ya Taifa ya wanawake Zanzibar chini ya umri wa miaka 18 wakiwa katika mazoezi hapo Dar es Salaam ambapo wataanza na mchezo wao wa kwanza wa CECAFA ya wanawake siku ya Alkhamis Julai 27 2023 saa 12.00 jioni dhidi ya Uganda
Mariam Ibrahim aungana na wanawake wa Pwani kufanya usafi Jimbo la Kibaha
Vijijini
-
Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba
18 ameungana na Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Pwani katika zoezi la kufagia
viwa...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment