Kikosi cha Timu ya Taifa ya wanawake Zanzibar chini ya umri wa miaka 18 wakiwa katika mazoezi hapo Dar es Salaam ambapo wataanza na mchezo wao wa kwanza wa CECAFA ya wanawake siku ya Alkhamis Julai 27 2023 saa 12.00 jioni dhidi ya Uganda
TET NA TANZANIA AI COMMUNITY KUSHIRIKIANA KUBORESHA UFUNDISHAJI KWA
TEKNOLOJIA YA AI
-
TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imepanga kufanya mafunzo ya kukuza uwezo
kwa wakuza mitaala na walimu nchini kwa kutumia Akili Mnemba (AI) ili
kukuza ufani...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment