Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika Dkt. Patrice Motsepe amezitangaza nchi za Kenya, Uganda na Tanzania kuwa wenyeji wa Mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika mwaka 2027, kupitia Muungano wao wa EA PAMOJA BID
NDEJEMBI ATAKA EWURA KUKAGUA MAGHALA YA MAFUTA KUHAKIKISHA HAKUNA MAFUTA
YANAYOFICHWA
-
Asema nchi ina usalama mkubwa wa mafuta hivyo wananchi waendelee kupata
huduma muda wote
Timu maalum kuundwa kufuatilia uingizaji wa mafuta nchini
WA...
21 minutes ago

0 Comments