Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika Dkt. Patrice Motsepe amezitangaza nchi za Kenya, Uganda na Tanzania kuwa wenyeji wa Mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika mwaka 2027, kupitia Muungano wao wa EA PAMOJA BID
TAKUKURU MKOA WA DODOMA YAFUATILIA MIRADI YA BILIONI 50 NA KUFANIKIWA
KUOKOA ZAIDI YA MILIONI 13
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa of wa Dodoma Christopher Myava amesema katika
utendaji kazi wa Takukuru mkoani humo katika kipin...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment