Habari za Punde

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Mhe.Dkt Samia Sulihu Hassan Aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Jijini Dar es Salaamu leo

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 1 Oktoba, 2023, ameongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa kilichofanyika jijini Dar Es Salaam.(Picha na CCM MAKAO MAKUU)



 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.