RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifurahia jambo wakati akisalimiana na
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud na Mkuu wa Wilaya ya
Kusini Unguja Mhe Galos Nyimbo, alipowasili katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya
Kusini Unguja kwa ajili ya kuzungumza na Wazee wa Mkoa wa Kusini Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akizungumza na Wazee wa Mkoa wa Kusini Unguja katika ukumbi wa Ofisi ya
Mkuu wa Wilaya ya Kusini Makunduchi, wakati wa ziara yake na kuhudhuria Dua
Maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya kuwaombea Viongozi Wakuu na kuiombea Nchi
Amani, iliyofanyika katika Msikiti Mkuu
wa Ijumaa Mtegani Makunduchi
WAZEE wa Mkoa wa Kusini Unguja wakimsikiliza
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
(hayupo pichani) wakati wa ziara yake katika Mkoa huo mazungumzo hayo
yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kusini na kuhudhuria
Dua Maalum ya kuwaombea Viongozi na kuiombea Nchi Amani, iliyofanyika katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa Mtegani
Makunduchi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalum ya migomba na
Kiongozi wa Wazee wa Mkoa wa Kusini Unguja Mzee Mwita Masemo Makungu (kulia kwa
Rais) baada ya kumaliza mazungumzo yake na Wazee wa Mkoa huo yaliyofanyika
katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja Makunduchi leo
16-12-2023 na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Ayoub
Mohammed Mahmoud.
No comments:
Post a Comment