Afisa wa Bima NIC Insurance Bi.Zakia Mbonja akimkabidhi zawadi fedha taslim shilindi Laki Tano mchezaji wa Timu ya KVZ Yussuf Othman baada ya kuibuka mchezaji bora wa mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024, mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar, dhidi ya Timu ya Yanga katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya bila ya kufungana.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment