Afisa wa Bima NIC Insurance Bi.Zakia Mbonja akimkabidhi zawadi fedha taslim shilindi Laki Tano mchezaji wa Timu ya KVZ Yussuf Othman baada ya kuibuka mchezaji bora wa mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024, mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar, dhidi ya Timu ya Yanga katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya bila ya kufungana.
PPRA Yawahimiza Watanzania Kujisajili NEST Kushiriki Zabuni za Serikali
-
Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) imewataka Watanzania
kujisajili katika mfumo wa manunuzi wa kielektroniki wa NEST ili waweze
kunufaika na fu...
48 minutes ago
No comments:
Post a Comment