Afisa wa Bima NIC Insurance Bi.Zakia Mbonja akimkabidhi zawadi fedha taslim shilindi Laki Tano mchezaji wa Timu ya KVZ Yussuf Othman baada ya kuibuka mchezaji bora wa mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024, mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar, dhidi ya Timu ya Yanga katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya bila ya kufungana.
Benki ya CRDB Yashinda Tuzo ya Dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji Katika
Jamii Kupitia CRDB Bank Marathon
-
Benki ya CRDB imeshinda tuzo ya dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji katika
Jamii (International CSR Awards 2025) kupitia mbio zake za kimataifa ya
CRDB BANK...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment