Treni ya Umeme ya Kisasa ya (SGR) ikipita maeneo ya Pugu Jijini Dar es Salaam katika majaribio yake ya kawaida. Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeanza majaribio ya Treni hiyo ya SGR kutoka Mkoani Dar es Salaam hadi Mkoani Pwani na hivi karibuni itaendelea na majaribio hayo mpaka Mkoani Morogoro. Huduma rasmi za Usafiri huo zinatarajiwa kuanza Mwezi wa Julai, 2024.
NDEJEMBI ATAKA EWURA KUKAGUA MAGHALA YA MAFUTA KUHAKIKISHA HAKUNA MAFUTA
YANAYOFICHWA
-
Asema nchi ina usalama mkubwa wa mafuta hivyo wananchi waendelee kupata
huduma muda wote
Timu maalum kuundwa kufuatilia uingizaji wa mafuta nchini
WA...
2 hours ago

.jpg)
.jpg)
0 Comments