Habari za Punde

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Mwinyi Amejumuia na Viongozi na Wafanyakazi wa CCM Zanzibar Katika Iftar Aliyowaandalia Ukumbi wa CCMKisiwandui

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Mohammed Said Dimwa na Viongozi wa CCM, alipowasiliu katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar kwa ajili ya Iftar maalum aliyowaandalia Viongozi wa CCM na Wafanyakazi wa CCM Zanzibar, iliyofanyika jana 5-4-2024 katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Zanzibar.
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkaribisha Tende kufungulia saumu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi, wakati wa hafla ya Iftar Maalum iliyoandaliwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,kwa Viongozi wa CCM na Wafanyakazi wa CCM Zanzibar, iliyofanyika jana 5-4-2024, katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na kuwasalimia Viongozi wa CCM na Wafanyakazi baada ya kumalizika kwa hafla ya Iftar maalum aliyowaandalia katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja iliyofanyika jana 5-4-2024
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na kuwasalimia Viongozi wa CCM na Wafanyakazi baada ya kumalizika kwa hafla ya Iftar maalum aliyowaandalia katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja iliyofanyika jana 5-4-2024
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi, akijumuika na Viongozi wa CCM na Wafanyakazi wa CCM Zanzibar, katika kuitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi (kulia kwa Rais) na (kushoto kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Mohammed Said Dimwa,baada ya kumalizika kwa hafla ya Iftar maalum iliyofanyika katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar jana 5-4-2024
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akijumuika na Viongozi wa CCM na Wafanyakazi wa CCM Zanzibar, katika kuitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi,baada ya kumalizika kwa hafla ya Iftar maalum iliyofanyika katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar jana 5-4-2024.
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mstaafu Balozi Seif Ali Iddi, baada ya kumalizika kwa hafla ya Iftar Maalum iliyoandaliwa kwa Viongozib wa CCM na Wafanyakazi wa CCM Zanzibar, iliyofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar jana 5-4-2024.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.