RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Bw. Hassan Rajab
aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Amani Zanzibar, alipofika nyumbani kwake
Kisauni Wilaya ya Magharibi “B” Unguja kwa ajili ya kumsalimia na kumjulia hali
yake leo 10-5-2024.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Familia ya Bw. Hassan
Rajab (kushoto kwa Rais) aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Amani Zanzibar,
baada ya kumaliza mazungumzo yake alipofika nyumbani kwake Kisauni Wilaya ya
Magharibi “B” Unguja na (kushoto kwake) Ndg. Haji Kali, wakiitikia dua ikisomwa
na Katibu Mtendaji wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Khalid Ali Mfaume (kulia
kwa Rais)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Bw. Hassan Rajab aliyewahi
kuwa Mbunge wa Jimbo la Amani Zanzibar, baada ya kumaliza mazungumzo yake
alipofika nyumbani kwake Kisauni Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 10-5-2024
kumjulia hali yake.
No comments:
Post a Comment