WAZIRI wa Nchi Afisi ya Rais -Ikulu Zanzibar
Mhe. Ali Suleiman Ameir akiwasilisha hutuba ya Makadirio na Mapato ya Mtumizi ya
Wizara ya Nchi Afisi ya Rais Ikulu
Zanzibar kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025,kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi
Zanzibar,wakati wa Kikao cha Bajeti kinachofanyika katika ukumbi wa Baraza
Chukwani Jijini Zanzibar leo 17-5-2024.
Wazazibar wanaoishi ughaibuni Diaspora wakiwa katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, wakifuatilia Hutuba ya Bajeti ya Wizara ya Nchi Afisi ya Rais Ikulu wakati ikiwasilishwa katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani leo 17-5-2024 na Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Ikulu Zanzibar Mhe.Ali Suleiman Ameir .
Wazazibar wanaoishi ughaibuni Diaspora wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizikwa kwa kuwasilishwa Hutuba ya Bajeti ya Wizara ya Nchi Afisi ya Rais -Ikulu Zanzibar, katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Jijini Zanzibar leo 17-5-2024.
No comments:
Post a Comment