RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akizungumza na kumjulia hali yake Mzee wa Chama Cha Mapinduzi Haji Machano
alipofika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Lumumba kuwatembelea wagonjwa mbalimbali, waliolazwa
katika Hospitali hiyo ya Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja leo 6-12-2024.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kumjulia hali yake Mzee wa Chama Cha Mapinduzi Haji Machano alipofika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mjini Magharibu Lumumba kuwatembelea wagonjwa mbalimbali, waliolazwa katika Hospitali hiyo ya Mkoa ya Mjini Magharibi Unguja leo 6-12-2024.
RC TANGA AWATAKA WALIOPANGA KUCHOMA MATAIRI MKESHA WA MWAKA MPYA WASITHUBUTU
-
Na Oscar Assenga, TANGA
MKUU wa Mkoa wa Tanga Balozi,Dkt Batilda Burian amewataka wananchi wa mkoa
wa Tanga ambao wamepanga kutumia matairi kuchoma moto...
6 hours ago

0 Comments