Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Awatembelea Wagonjwa Hospitali ya Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kumjulia hali yake Mzee wa Chama Cha Mapinduzi Haji Machano alipofika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Lumumba kuwatembelea wagonjwa mbalimbali, waliolazwa katika Hospitali hiyo ya Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja leo 6-12-2024.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kumjulia hali yake Mzee wa Chama Cha Mapinduzi Haji Machano alipofika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mjini Magharibu Lumumba kuwatembelea wagonjwa mbalimbali, waliolazwa katika Hospitali hiyo ya Mkoa ya Mjini Magharibi Unguja leo 6-12-2024. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.