Watendaji wa uboreshaji ngazi ya Mkoa kwa Mkoa wa Mtwara wakishiriki katika mafunzo ya vitendo ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ambalo linataraji kufanyika mkoani humo kuanzia Januari 28,2025 hadi Februari 03, 2025 katika maeneo yote ya mkoa huo, Mkoa wa Lindi pamoja na Halmashauri za Madaba, Namtumbo na Tunduru kwa Mkoa wa Ruvuma. (Picha na INEC).
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment