Watendaji wa uboreshaji ngazi ya Mkoa kwa Mkoa wa Mtwara wakishiriki katika mafunzo ya vitendo ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ambalo linataraji kufanyika mkoani humo kuanzia Januari 28,2025 hadi Februari 03, 2025 katika maeneo yote ya mkoa huo, Mkoa wa Lindi pamoja na Halmashauri za Madaba, Namtumbo na Tunduru kwa Mkoa wa Ruvuma. (Picha na INEC).
WAHITIMU MAFUNZO YA MFUMO STAKABADHI GHALA WATAKIWA KUONGEZA UWAZI NA UBORA
KATIKA UTENDAJI KAZI WAO
-
Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma ya Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Usimamizi
wa Stakabadhi za Ghala,Godwin Mkanwa,akikabidhi Cheti Mhitimu wa mafunzo ya
...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment