Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akishiriki katika mazoezi ya pamoja kwenye Tamasha la Michezo la Bunge Bonanza, lililofanyika katika viwanja vya John Merlin Sekondari jijini Dodoma. Februari 2. 2025
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipeana mkono na Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson, wakati aliposhiriki katika mazoezi ya pamoja kwenye Tamasha la Michezo la Bunge Bonanza, lililofanyika katika viwanja vya John Merlin Sekondari jijini Dodoma. Februari 2. 2025 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment