Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekitri wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Amefingua Ziara Maalumu ya Diplomatic Safari and Tour

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakisalimiana na Viongozi wa Serikali alipowasili katika ukumbi wa Hoteli ya Kwanza Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja, kwa ajili ya kufunga Ziara Maalumu ya Mabalozi " Diplomatic Safari and Tour" wanaowakilisha Nchi zao Nchini Tanzania.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano Afrika Mashariki Balozi Said Said Mussa , akizungumza na kuttowa maelezo ya Ziara Maalumu ya Mabalozi Wanaowakilisha Nchi zao Nchini Tanzania "Diplomatic Safari and Tour, kutembelea vyanzo vya Utalii Nchini Tanzania, wakati wa hafla ya ufungaji wa ziara hiyo uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Kwanza Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja.

 


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi  akihutubia  wakati wa hafla ya ufungaji  wa ziara Maalumu ya Mabalozi wanaowakilisha Nchi zao Nchini Tanzania “Diplomatic Safari and Tour”,kutembelea Vivutio vya Utalii Tanzania Bara na Zanzibar,  hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Kwanza  Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja.





















No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.