Habari za Punde

Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa Amuwakilisha Rais Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan Katika Hafla ya Utoaji wa Tuzo za Elimu za Mufti

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimaina na viongozi walipowasili kwenye hoteli ya Serena jijini Dar eś salaam kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika hafla ya utoaji  tuzo za elimu za Mufti, Septemba 20, 2025. Kutoka  kushoto ni Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Dkt Abubakar Zubeir bin Ally, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila,  Katibu Mkuu wa Baraza la Waislaam Tanzania (BAKWATA), Alhaji Nuhu Mruma,  Mkuu wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo
 Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Dkt. Abubakar Zubeir bin Ally akizungunmza katika  hafla ya utoaji  tuzo za elimu za Mufti iliyofanyika kwenye hoteli ya Serena jijini Dar eś salaam , Septemba 20, 2025. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alimwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye hafla hiyo
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionesha ya tuzo ya elimu ya Mufti aliyoipokea kwa naiba ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan hafla ya utoaji  tuzo za elimu za Mufti iliyofanyika kwenye hoteli ya Serena jijini Dar eś salaam , Septemba 20, 2025 . Kushoto ni Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Dkt. Abubakar Zibeir bin Ally.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika  hafla ya utoaji  tuzo za elimu za Mufti iliyofanyika kwenye hoteli ya Serena jijini Dar eś salaam , Septemba 20, 2025. Alimwakilisha Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Suluhu Hassan katika hafla hiyo
Washiriki wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipozungumza katika  hafla ya utoaji  tuzo za elimu za Mufti iliyofanyika kwenye hoteli ya Serena jijini Dar eś salaam , Septemba 20, 2025. Alimwakilisha Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika hafla hiyo. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Kamati ya Maandalizi ya hafla ya utoaji  tuzo za elimu za Mufti iliyofanyika kwenye hoteli ya Serena jijini Dar eś salaam , Septemba 20, 2025. Alimwakilisha Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika hafla hiyo.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.