Mfanyakazi wa kampuni ya simu ya mkononi ya Zantel akiifanyia usafi moja ya saa iliyowekwa na Zantel katika makutano ya barabara ya shangani na Vuga, ili kuiweka katika mazingira safi na kutowa huduma ya wakati kwa Wananchi.
SERIKALI KUIFUNGUA PEMBA KIUTALII
-
Na. Mwandishi wetu, Pemba
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii Tanzania, Mh. Hamad Hassan Chande (Mb),
amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanz...
4 hours ago
0 Comments