Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Hamad akizungumza na Balozi Mdogo wa Oman Zanzibar,Sheikh Saleh Salum, alipofika Osini kwake migombani kujitambulisha kwa Makamo wa Kwanza. wa Rais wa Zanzibar kwa kuanza kazi hivi karibuni katika ofisi ya Zanzibar. (Picha na Salmin Said, OMKR)
SHULE ZOTE ZA SERIKALI KUFIKIWA NA VITABU KABLA HAZIJAFUNGULIWA
-
MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) Dkt. Aneth Komba
amesema, TET imejipanga kuhakikisha shule zote za Serikali zinafikiwa na
vitabu kabla h...
2 hours ago
1 Comments
Du! NIMEPENDA HII YAANI WIZI WAZI WAZI WALA HAWAOGOPI HII INAONYESHA FIKA KUWA KUWA KIGOGO ANAWALINDA KWA KIASI FULANI.
ReplyDelete