6/recent/ticker-posts

Dk Shein akutana na Mkurugenzi wa shirika la IFAD

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Kilimo (IFAD) wa Kusini na mashariki mwa Afrika Bw.Perin Saint Ange,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na Ujumbe aliofuatana nao jana asubuhi
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kulia) akizungumza na  Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Kilimo (IFAD) wa Kusini na mashariki mwa Afrika Bw.Perin Saint Ange,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na Ujumbe aliofuatana
nao jana asubuhi,[
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kulia) akizungumza na  Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Kilimo (IFAD) wa Kusini na mashariki mwa Afrika Bw.Perin Saint Ange,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na Ujumbe aliofuatana nao jana asubuhi,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

Post a Comment

0 Comments