Harakati za kila siku katika mtaa wa mlandege enzi za nyuma mtaa huu uliokuwa na harakati kubwa na msongamano wa wananchi, elipokuwa pakiuzwa mitumba na mtaa huu uliokuwa maarufu kwa biashara hiyo na asili ya kuuzwa mitumba Zanzibar, na hatimai Taasisi husika kufanikiwa kuwahamisha wafanyabiashara ya Mitumba na kuwahamisha eneo la saateni kwa ajili ya kufanya biashara hiyo hadi leo na eneo hili kuwa wazi kama linavyonekana pichani.Mdau.
DK.MIGIRO ATOA MWITO KWA WABUNGE,MAWAZIRI KUSHIRIKI VIKAO VINAVYOITISHWA NA
MABALOZI WA MASHINA ,MATAWI
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi( CCM) Dk.Asha-Rose Migiro ametoa mwito
kwa viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwemo Wabunge n...
4 hours ago
0 Comments