Wanafunzi wa skuli ya msingi Zanzibar wakiwa katika ziara ya kimasoma katika Ofisi za Gazeti la Zanzibar Leo Rahaleo,kujionea jinsi ya utayarishaji wa gazeti hilo. Wakiwa katika chumba cha kutayarisha gazeti wakimuangalia mfanyakazi wa chumba cha page maker (peji meka)
SERIKALI KUIFUNGUA PEMBA KIUTALII
-
Na. Mwandishi wetu, Pemba
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii Tanzania, Mh. Hamad Hassan Chande (Mb),
amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanz...
2 hours ago
0 Comments