LICHA ya uongozi wa kiwanda cha makonyo kudai moshi
unatoka kiatika kiwanda hicho hauna madhara na bomba yake kupandishwa juu,
lakini bado wananchi wa Wawi na maeneo jirani, wamekuwa wakilalamikia moshi
unaotoka katika kiwanda hicho kuwa unawasha unapoingia machoni.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
DKT. MWIGULU AONGOZA KIKAO KAZI KUHUSU UJENZI WA MIRADI YA BARABARA ZA
HARAKA KWA UBIA WA MFUMO WA PPP
-
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 17, 2026 ameongoza kikao cha
kazi kuhusu ujenzi wa miradi ya barabara za haraka (Express Ways) kwa ubia
kupit...
2 hours ago
0 Comments