Wanafunzi wa Chuo cha Kiislam Mazizini Zanzibar wakionesha Igizo la mchezo wa Vitendo vya Udhalilishaji wa Wanawake na Watoto Zanzibar, onesho hilo lililofanyika katika viwanja vya Chuo cha Kiislam Mazizini Zanzibar, wakati wa mahafali ya 16 ya Chuo. Igizo hilo limechukua simazi kwa Wageni waalikwa waliohudhuria hafla hiyo.
VIJANA WAHIMIZWA KUWA WAZALISHAJI, SIO WACHUUZI, SERIKALI YAWEKA MIKAKATI
MAHUSUSI
-
Na Avila Kakingo, Michuzi Tv
SERIKALI imeweka mkazo kwa vijana wa Tanzania kuachana na uchumi wa uchuuzi
na usambazaji wa bidhaa kutoka nje, na badala ...
19 minutes ago


0 Comments