Wanafunzi wa Chuo cha Kiislam Mazizini Zanzibar wakionesha Igizo la mchezo wa Vitendo vya Udhalilishaji wa Wanawake na Watoto Zanzibar, onesho hilo lililofanyika katika viwanja vya Chuo cha Kiislam Mazizini Zanzibar, wakati wa mahafali ya 16 ya Chuo. Igizo hilo limechukua simazi kwa Wageni waalikwa waliohudhuria hafla hiyo.
BALOZI MTEULE MAULIDAH HASSAN AAGWA NA WAZIRI KOMBO, AAHIDI KUIMARISHA
DIPLOMASIA YA TANZANIA NA OMAN
-
Balozi Mteule wa Tanzania nchini Oman, Mheshimiwa Maulidah Hassan, amefanya
ziara ya kumuaga Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,
Mhe...
2 hours ago


0 Comments