AFISA Mdhamini Wizara ya Vijana Utamaduni Sanaa na Michezo Pemba Fatma Hamad Rajab, akimkabidhi mipira, Stockings (Soksi) na seti moja ya Jezi kepteni wa timu ya Hard Rock Emmanuel Balele, ambayo ni timu pekee inayoshiriki ligi kuu ya Zanzibar kutoka Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
MHANDISI JUMBE AUNGANA NA WANANCHI KUUKARIBISHA MWAKA MPYA KWA CHAKULA CHA
PAMOJA SHINYANGA
-
Mdau wa Maendeleo Mhandisi, James Jumbe, leo Januari Mosi, amekutana na
makundi mbalimbali ya wananchi wa Manispaa ya Shinyanga katika hafla ya
pamoja ya k...
4 hours ago
0 Comments