Habari za Punde

WANAFUNZI NA BAISKELI







NI kipando muhimu sana kurahisisha usafiri wa kwenda na kurudi skuli. Kwani hupunguza makali ya gharama za dala dala na pia husaidia mwili kuwa imara. Hupata nafasi na kuwa karibu na washikaji kutia stori wakati wa kwenda kurudi skuli. Tatizo isije kuharibika au kuibiwa maana huwa kasheshe.



Pichani ni baadhi ya wanafunzi waliokutwa wakitumia usafiri huu maeneo ya michenzani. Wadau mna kumbukumbu yoyote ya baiskeli wakati wa uanafunzi?



No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.