WATOTO wengi hujishughulisha na michezo mbali ya huku na huku, lakini siku hizi kumejitokeza mchezo wa kutafuta Vyuma vichakavu ili kuuza, kama mdao alivyowakuta watoto hawa wakiwa hawajali afya yao wakipekuwa katika moja ya jaa katika soko la Mwanakwerekwe wakitafuta vyuma vichakavu ili kuuza kwa kilo moja huuzwa shillingi 150/= , Wazazi inabidi kuchukuwa hatua za makusudi kuwaelimisha watoto wao madhara ya mchezo bila ya kuzingatia Elimu ni mkombozi wa Maisha yao. .
Uzuri wa Tanzania Kupitia Sanaa, Vivo Energy Yazindua mashindano ya Awamu
ya pili kwa shule za Sekondari na Vyuo nchini
-
Wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika shule ya Sekondari Jangwani wakiwa
katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali waliofika shuleni kwaajili ya
uz...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment