WATOTO wengi hujishughulisha na michezo mbali ya huku na huku, lakini siku hizi kumejitokeza mchezo wa kutafuta Vyuma vichakavu ili kuuza, kama mdao alivyowakuta watoto hawa wakiwa hawajali afya yao wakipekuwa katika moja ya jaa katika soko la Mwanakwerekwe wakitafuta vyuma vichakavu ili kuuza kwa kilo moja huuzwa shillingi 150/= , Wazazi inabidi kuchukuwa hatua za makusudi kuwaelimisha watoto wao madhara ya mchezo bila ya kuzingatia Elimu ni mkombozi wa Maisha yao. .
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment