WATOTO wengi hujishughulisha na michezo mbali ya huku na huku, lakini siku hizi kumejitokeza mchezo wa kutafuta Vyuma vichakavu ili kuuza, kama mdao alivyowakuta watoto hawa wakiwa hawajali afya yao wakipekuwa katika moja ya jaa katika soko la Mwanakwerekwe wakitafuta vyuma vichakavu ili kuuza kwa kilo moja huuzwa shillingi 150/= , Wazazi inabidi kuchukuwa hatua za makusudi kuwaelimisha watoto wao madhara ya mchezo bila ya kuzingatia Elimu ni mkombozi wa Maisha yao. .
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
12 hours ago
0 Comments