Habari za Punde

MBUNGE MUSSA KHAMIS SILIMA APATA AJALI MKEWE AFARIKI


 Mbunge mteule kutoka Baraza la Wawakiilishi Zanzibar, Mussa Khamis Silima ambaye alipata ajali majuzi katika eneo la Nzuguni Dodoma akiwa katika machela, Hospitali ya Muhimbili baada ya kushushwa kwenye gari akitokea Dodoma alikopata ajali ambapo mkewe Bi Mwanakheir Fahari alifariki.

 Mbunge wa Mafia akiliangalia gari dogo alilopata ajali Mhe, Mbunge Mussa Khamis Silima jinsi lilivyoharibika baada ya ajali hiyo mbaya.
Mwili wa Bi Mwanakheir Fahari ambaye ni mke wa Mhe Mbunge Mussa Khamis Silima ukiingizwa Msikitini kusaliwa kabla ya kusafirishwa kupelekwa Unguja kwa mazishi.

Picha kwa hisani ya Issa Michuzi blog

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.