Abdulham Gulam akipambana na Kagere Medie wa Rwanda kwenye mchezo wa Robo Fainali ya pili kwa siku ya leo ikiwa ni michuano ya kombe la TUSKER CECAFA CHALLENGE CUP 2011 inayofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam Tanzania. mpaka sasa mpira umekwisha ambapo Rwanda imeongeza goli la pili katika dakika ya 86 na kufanya matokeo ya mchezo huo kwa magoli 2-1. Matokeo haya yanaifanya Zanzibar Heroes kufungasha virago na Watanzania kubakiwa na timu moja tu ya Kilimanjaro Stars ambayo itashuka dimbani kesha kuikabili Malawi.
Uchaguzi : Mwenyekiti wa INEC Alivyokabidhi Hati kwa Rais na Makamu wa Rais
Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
-
[image: Mwenyekiti wa INEC, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufani Jacobs
Mwambegele amekabidhi Hati kwa Rais Mteule na Makamu wa Rais Mteule wa
Jamhuri ya Muun...
13 hours ago




No comments:
Post a Comment