Naibu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Ofisi ya Zanzibar Mcha Hassan Mcha(kulia) akitoa hotuba ndogo baada ya kukabidhi Msaada wa Vifaa mbalimbali vya Skuli ya Kidagoni na kuahidi kuwafikishia Maji safi Skulini hapo.Kulia yake ni Kamishna wa Elimu Zanzibar Maryam Abdalla Yussuf.
-Kamishna wa Elimu Zanzibar Maryam Abdalla Yussuf.akifafanua jambo wakati akitoa hotuba baada ya Kupokea Msaada wa Vifaa mbalimbali vya Skuli ya Kidagoni ilioko Mkoa wa Kaskazini Wadi ya Kidoti.kushoto yake ni Naibu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) Ofisi ya Zanzibar Mcha Hassan Mcha na kulia yake ni Afisa Utumishi Mwandamizi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) Ofisi ya Zanzibar Haula Kassim.
PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.
No comments:
Post a Comment