Wananchi wakiwa katika harakatiza kujipatia mahitaji mbalimbali katika soko la mwanakwerekwe Unguja, ambalo ni soko kubwa kwasasa na hupokea mazao mbalimbali kutoka Unguja na Pemba. Hufika sokoni hapo kwa mauzo ya Jumla na Rejareja kwa walaji.
Elimu : Awamu ya Sita Yaipiga Jeki Elimu, Walimu Wapongezwa Arusha
-
Na Pamela Mollel, Arusha
Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanya
maboresho makubwa katika sekta ya elimu mkoani Aru...
18 minutes ago
No comments:
Post a Comment