Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Korea Kusini Kang Chang Hee,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na Ujumbe wake leo.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati Mlandege na Mafunzo Mchezo
Uliyofanyika Uwanja wa Mao ZedungTimu hizo Zimetoka Sare ya 0-0
-
Mshambuliaji wa Timu ya Mlandege akiruka mkwanja wa beki wa Timu ya
Mafunzo wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ mchezo
uliyofanyika katika ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment