Mhe Waziri wa ZanziNews akisalimiana na Rais Mstaafu wa Marekani na Balozi wa Malaria Bill Clinton alipokuwa nchini kwa ziara ya kikazi katika uwanja wa Amaan
Uchaguzi : Mwenyekiti wa INEC Alivyokabidhi Hati kwa Rais na Makamu wa Rais
Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
-
[image: Mwenyekiti wa INEC, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufani Jacobs
Mwambegele amekabidhi Hati kwa Rais Mteule na Makamu wa Rais Mteule wa
Jamhuri ya Muun...
15 hours ago

mambo kidogo kidogo...mwisho utakunata na wakubwa wengine ! mbuyu ulikuwa kama mchicha....
ReplyDeleteNimekua nikivutiwa sana na Zanzinews. Nimefarijika kumuona waziri wake, lakini napenda kufahamu zaidi juu ya blog hii nzuri iliyobeba jina adhimu Zanzibar.
ReplyDeleteMara nyingi huhisi blog hii imefanana na Vijimambo format layout.
Good job. Hongera kwa kutupatia habari za Zanzibar na Tanzania.
Haji R. Haji. Bellevue WA. USA.
Kaka hongera sana, mwanzo mzuri!!!!
ReplyDelete