Mhe Waziri wa ZanziNews akisalimiana na Rais Mstaafu wa Marekani na Balozi wa Malaria Bill Clinton alipokuwa nchini kwa ziara ya kikazi katika uwanja wa Amaan
Tuzo : NCAA Yajivunia Tuzo ya Kimataifa
-
Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) Bw.
Abdul-Razaq Badru kupitia mkutano na Waandishi wa Habari uliofanyika jijini
Ar...
40 minutes ago
mambo kidogo kidogo...mwisho utakunata na wakubwa wengine ! mbuyu ulikuwa kama mchicha....
ReplyDeleteNimekua nikivutiwa sana na Zanzinews. Nimefarijika kumuona waziri wake, lakini napenda kufahamu zaidi juu ya blog hii nzuri iliyobeba jina adhimu Zanzibar.
ReplyDeleteMara nyingi huhisi blog hii imefanana na Vijimambo format layout.
Good job. Hongera kwa kutupatia habari za Zanzibar na Tanzania.
Haji R. Haji. Bellevue WA. USA.
Kaka hongera sana, mwanzo mzuri!!!!
ReplyDelete