SERIKALI YAENDELEA KUIMARISHA UONGOZI NA USIMAMIZI WA ELIMU KUPITIA MAFUNZO
KWA VIONGOZI WA SHULE
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICUZI TV
SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeendelea
kuimarisha uongozi na usimamizi wa elimu nchini kwa kutoa...
39 minutes ago
Ndugu yangu kusoma tuu peke yake hakutoshi kuleta mabadiliko ikiwa mfumo wenyewe ni mbovu. Tusitarajie mabadiliko ikiwa mazingira yenyewe ya kazi yamewekewa misingi isiyokuwa imara mibovu, watendaji wakuu wenyewe wabovu.
ReplyDelete