Mwakilishi wa kuteuliwa Marina Joel Thomas akinukuu baadhi ya vipengele vya maswali na majibu ndani ya Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi mbweni nje ya mji wa Zanzibar.
Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni Salmin Awadh Salmin katikati akiwa pamoja na Mwakilishi wa Kuteuliwa nafasi za Wanawake Raya Suleiman Hamad kulia na Mwakilishi wa Jimbo la Rahaleo Nassor Salum Aljazeera wakibadilishana mawazo nje ya ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Mbweni Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR
No comments:
Post a Comment