Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, ikitowa huduma za ndege kubwa
baada ya kumalizika kwa ujenzi wake wa maegesho ya ndege na barabara ya
kuondokea, hivi karibuni kama inavyoonekana picha ndege mbili kubwa za Ethiopian airline na Oman Air zikiwa katika uwanja huo kwa
wakati mmoja zikitowa huduma ya kusafirisha abiria kupitia uwanja huo
Uzuri wa Tanzania Kupitia Sanaa, Vivo Energy Yazindua mashindano ya Awamu
ya pili kwa shule za Sekondari na Vyuo nchini
-
Wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika shule ya Sekondari Jangwani wakiwa
katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali waliofika shuleni kwaajili ya
uz...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment