Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, ikitowa huduma za ndege kubwa
baada ya kumalizika kwa ujenzi wake wa maegesho ya ndege na barabara ya
kuondokea, hivi karibuni kama inavyoonekana picha ndege mbili kubwa za Ethiopian airline na Oman Air zikiwa katika uwanja huo kwa
wakati mmoja zikitowa huduma ya kusafirisha abiria kupitia uwanja huo
Dear Clients, Partners and Friends,
-
As we bring this year to a close, I want to express my sincere appreciation
for the trust and confidence you have placed in Stanbic Bank.
Your support a...
1 day ago
0 Comments