Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, ikitowa huduma za ndege kubwa
baada ya kumalizika kwa ujenzi wake wa maegesho ya ndege na barabara ya
kuondokea, hivi karibuni kama inavyoonekana picha ndege mbili kubwa za Ethiopian airline na Oman Air zikiwa katika uwanja huo kwa
wakati mmoja zikitowa huduma ya kusafirisha abiria kupitia uwanja huo
SEKTA YA MAZIWA YAPATA NGUVU MPYA: WAKAGUZI WAPEWA MAFUNZO MOROGORO
-
Sekta ya maziwa nchini imepata msukumo mpya kufuatia kuanza kwa mafunzo
maalum kwa wakaguzi wa maziwa kutoka mikoa ya Morogoro, Kilimanjaro,
Arusha, Tanga ...
8 minutes ago
0 Comments