MAFUNDI wa kutengeneza bidhaa mbali mbali waliopo kiwanda cha Vilima vitatu Konde wilaya ya Micheweni Pemba, wakirekebisha gogo kwa shoka maalumu, kabla ya kulisarifu watakavyo kwa matumizi ya kutengeneza kitanda na kabati, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
UDOM YAKUTANA NA WADAU KUCHAMBUA NAFASI YA AKILI UNDE KATIKA UTAWALA BORA
-
*Na Mwandishi Wetu, Dodoma*
*Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na wadau wa teknolojia na
wataalamu wa utawala wamekutana leo Jijini Dodom...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment