MAFUNDI wa kutengeneza bidhaa mbali mbali waliopo kiwanda cha Vilima vitatu Konde wilaya ya Micheweni Pemba, wakirekebisha gogo kwa shoka maalumu, kabla ya kulisarifu watakavyo kwa matumizi ya kutengeneza kitanda na kabati, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
Biashara : Tanzania Yaibuka Mshindi wa Jumla Maonesho ya Wajasiriamali wa
Afrika Mashariki
-
Na: OWM (KVAU) – Nairobi
JAMHURI ya Muungano wa Tanzania imeibuka mshindi wa jumla kwenye maonesho
ya 25 ya Wajasiliamali Wadogo na wa Kati wa Jumuiya ...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment