MAFUNDI wa kutengeneza bidhaa mbali mbali waliopo kiwanda cha Vilima vitatu Konde wilaya ya Micheweni Pemba, wakirekebisha gogo kwa shoka maalumu, kabla ya kulisarifu watakavyo kwa matumizi ya kutengeneza kitanda na kabati, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MWENEZI CCM TAIFA KUFANYA ZIARA YA KIMKAKATI NCHI NZIMA KUANZA NA SINGIDA
JANUARI 18.
-
Katibu wa Uenezi, Itikadi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa,
Kenani Kihongosi, anatarajiwa kuanza ziara yake ya kimkakati nchi nzima
itakay...
18 minutes ago
0 Comments