MAFUNDI wa kutengeneza bidhaa mbali mbali waliopo kiwanda cha Vilima vitatu Konde wilaya ya Micheweni Pemba, wakirekebisha gogo kwa shoka maalumu, kabla ya kulisarifu watakavyo kwa matumizi ya kutengeneza kitanda na kabati, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
GCLA INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KATIKA MAONESHO SABASABA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlakla ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dkt. Adam Fimbo
(kulia) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Mamlaka ya
Maabara ya ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment