MAFUNDI wa kutengeneza bidhaa mbali mbali waliopo kiwanda cha Vilima vitatu Konde wilaya ya Micheweni Pemba, wakirekebisha gogo kwa shoka maalumu, kabla ya kulisarifu watakavyo kwa matumizi ya kutengeneza kitanda na kabati, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WANAOSAFIRISHA MAZAO KINYUME CHA SHERIA KUWAJIBISHWA– COPRA
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imeonya vikali
wafanyabiashara wanaosafirisha mazao ya kilimo bi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment