Mwanafunzi wa Kidatu cha Sita katika Skuli ya Vikokotoni Barke Mussa akitowa maelezi jinsi Vibaka walivyoweza kuvungua mkoba wake na kumchukulia shilingi Elfu Hamsini zikiwa Ada ya Shule, mkasa huo umemkuta katika makontena ya kisiwandui wakati akitoka skuli. Wananchi wanaofika katika mitaa hiyo kuwa na tahadhari na Vibaka wanatumia mbinu nyingi ikiwemo kuchana mikoba ya Wanawake kwa Viwembe.
Wasamaria wema wakipiga mchango kumchangia Mwanafunzi huyo,ili kuweza kulipia Ada skuli.
HALMASHAURI YA BAGAMOYO YAHITAJI MADAWATI 7,000 KATIKA SHULE ZA MSINGI NA
SEKONDARI- DED SELENDA
-
Na Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo
HALMASHAURI ya wilaya ya Bagamoyo, Mkoani Pwani inakabiliwa na changamoto
ya upungufu wa madawati 7,000 katika shule ...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment