MWENYEKITI wa mwenvuli wa asasi ya kiraia Pemba, ‘PACSO’ Omar Ali Omar akifungua mdahalo wa siku moja wa jukwaa la amani na utulivu, wakati na baada ya uchaguzi mkuu, uliotarayarishwa na asasi hiyo, na kufanyika skuli ya Sekondari ya Fidel Castro, kulia ni Mkurugenzi mtendaji wa ‘PACSO’ Ali Said Hamad na katikati ni Mratibu wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC, tawi la Pemba Fatma Khamis Hemed, (Picha na Haji Nassor, Pemba)
MRATIBU wa Kituo cha Huduma za Sheria
Zanzibar ZLSC tawi la Pemba Fatma Khamis Hemed, akiwasilisha mada ya umuhimu wa
amani wakati na baada ya uchaguzi mkuu, kwenye mdahalo ulioandaliwa na asasi ya
‘PACSO’ kulia ni Mkurugenzi mtendaji wa asasi hiyo, Ali Said Hamad na kushoto
ni Mwenyekiti wake Omar Ali Omar, mdahalo huo umefanyika skuli ya sekondari ya
Fidel Castro, (Picha na Haji Nassor,
Pemba)
WASHIRIKI wa mdahalo wa jukwaa la
amani na utulivu wakati na baada ya uchaguzi mkuu, lililoandaliwa na Mwenvuli
wa asasi za kiraia Pemba, PACSO, na kufanyika skuli ya sekondari ya Fidel
Castro Chake chake Pemba, wakisikiliza mada inayotolewa, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MSHIRIKI wa mdahalo Hidaya Mjaka Ali, kutoka Jumuia
ya watu wenye ulemavu Pemba, akichangia mada juu ya umuhimu wa amani, katika
mdahalo huo, uliofanyika skuli ya sekondari ya Fidel Castro, na kuandaliwa na
asasi ya ‘PACSO’ Pemba, (Picha na Haji
Nassor, Pemba)
SAJENT Hamad kutoka Jeshi la Polisi mkoa wa
kusini Pemba, akielezea jinsi jeshi hilo lililovijipanga kulinda amani na
utulivu, wakati na baada ya uchaguzi mkuu, aliekuwa kwenye mdahalo wa jukwaa la
amani na utulivu, uliotayarishwa na asasi ya PACSO na kufanyika Skuli ya Fidel
Castro Chake chake Pemba, (Picha na Haji
Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment