Mashine za Kuzibia Mipira ya Gari Re Condition kutoka Uingereza Zikiwa katika hali Nzuri na Ubora wake Zikiwa katika Seti moja Pcs 3 Zinauzwa kwa Bei Rahisi Shilingi miliono 7, Maelewano Yamo. Na Huduma ya Usafirishaji Itakuwepo kwa Gharama ya Mnunuzi. Kwa Mawasiliano Unaweza kuwasiliana kwa
Ukitaka Kuziona Unaweza Kufika Jumba Namba 8 Mwisho Michenzani Zanzibar
Jirani na Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar Kwa Zuberi Kiosk
Ndg. Saleh Namba ya Simu 0774 659895.
Na
Ndg Mbarak kwa Namba ya Simu 0779 100064
No comments:
Post a Comment