Wananchi wa eneo la mtoni barabara ya bububu wakiangalia gari yenye namba za usaji Z 284 BD ,iliokuwa
ikitokea mjini kuelekea bububu kupata
ajali wakati ikijaribu kuzipita gari
wakati ikiwa katika mwendo na kusababisha ajali ya kuigonga gari yenye
namba za Usajili Z 626BV, ikitokea Bububu kuelekea mjini, katika ajali hiyo
hakuna mtu aliyejeruhiwa
TUME YAKAGUA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU MAFINGA MJI, WASISITIZWA WELEDI
-
*Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs
Mwambegele leo Septemba 21, 2025 ametembelea Halmashauri ya Mji wa Mafinga
...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment