Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete ateta na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Shariff Seif Hamad,alipofika Ikulu jana 4,Novemba 2015, kwa mazungumzo kuhusu hali ya kisiasa Visiwani leo asubuhi Ikulu jijini dar es Salaam
Rais Kikwete na Maalim Seif wakifurahia jambo wakati wa mazingumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam jana 4 Novemba 2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad wakati alipofika Ikulu Dar jana 4 Novemba 2015, kwa mazungumza na Rais Kikwete Ikulu, wakiwa katika picha ya pamoja.
Picha na Ikulu
No comments:
Post a Comment