Wanafunzi wa Kidatu cha Nne wa Skuli ya Sekondari ya Hailisalasi wakiwa nje ya
chumba mitihani baada ya kumaliza kufanya mtihani wao asubuhi wa historia
wakitafakari na kukumbushana hali ya mtahani huo wakisubiri kurudi madarasani
kuendelea na mitihani yao Taifa ya Kidatu cha Nne
TANZANIA YAPOKEA MSAADA WA SH. BILIONI 185 KUTOKA CHINA
-
Na. Josephine Majura, WF, Dodoma
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Watu
wa China zimetia Saini mikataba miwili ya ms...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment