Wanafunzi wa Kidatu cha Nne wa Skuli ya Sekondari ya Hailisalasi wakiwa nje ya
chumba mitihani baada ya kumaliza kufanya mtihani wao asubuhi wa historia
wakitafakari na kukumbushana hali ya mtahani huo wakisubiri kurudi madarasani
kuendelea na mitihani yao Taifa ya Kidatu cha Nne
TRA na mamlaka za mapato EAC zasaka suluhu za pamoja kuondoa vikwazo vya
biashara
-
Na Mwandishi wetu, Michuzi Tv
MAMLAKA za Mapato za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimekutana jijini
Dar es Salaam kujadili namna ya kuboresha mifumo ya...
38 minutes ago
No comments:
Post a Comment