Wananchi wametakiwa kuacha ushabiki na jazba ili kuwaondolea gharama za matatizo wao wenyewe na familia zao. Wito huo umetolewa na Kamishna wa Polisi zanzibar Hamdan Omar Makame alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari huko makao makuu ya Polisi zanzibar.
PIKU Afrika yakabidhi zawadi kwa washindi wa awamu ya nne ya mnada wa
kidijitali
-
Na Mwandishi Wetu
JUKWAA la kidijitali la PIKU Afrika, linaloendesha minada ya kipekee
kupitia mtandao, leo Septemba 20, 2025, limetangaza na kukabidhi za...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment