Wananchi wametakiwa kuacha ushabiki na jazba ili kuwaondolea gharama za matatizo wao wenyewe na familia zao. Wito huo umetolewa na Kamishna wa Polisi zanzibar Hamdan Omar Makame alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari huko makao makuu ya Polisi zanzibar.
Iramba waishukuru Benki ya CRDB kujenga Kituo cha Afya Mukulu
-
Iramba: Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Mheshimiwa Suleiman Mwenda ameishukuru
Benki ya CRDB kwa kukamilisha ujenzi wa Kituo cha Afya Mukulu akisema
kitasaidia ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment