Habari za Punde

Jumuiya ya Wazanzibar Sweden Inawatakia Kheri ya Mwaka 2016


 
Jumuiya ya Wazanzibari waishio Sweden Scandinavia (ZANDIA) inawatakia wa Zanzibar na wadau wote wanaoitakia Zanzibar neema kheri ya mwaka mpya 2016, Mwenyezi Mungu ijalie nchi yetu amani, upendo, na ushikamano kwa Wazanzibari wote ulimwenguni.

Tunajenga imani kubwa kuwa kuna mwelekeo wa kupatikana muafaka kwenye vikao vinavyoendelea kila siku huko nyumbani, na kuiweka nchi yetu katika Amani na utulivu, ili  kupatikana Rais aliechaguliwa kihalali  katika nchi yetu tuipendayo Zanzibar.

Mungu Ibariki Zanzibar na waZanzibari wote Ameen

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.