Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa
na MichezoProf. Elisante Ole Gabriel akiongea na wadhamini kutoka kampuni
mbalimbali waliodhamini Siku ya Msanii Duniani iliyofanyika hivi karibuni.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa
na MichezoProf. Elisante Ole Gabriel kulia akiongea na wadhamini kutoka kampuni
mbalimbali waliodhamini Siku ya Msanii Duniani iliyofanyika hivi karibuni.Kushoto
ni Mkurugenzi Msaidizi Sanaa Bi. Lear
Kihimbi.
Katibu
Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa pili kutoka kushoto
akimkabidhi Cheti moja ya wadhamini waliodhamini Siku ya Msanii Duniani kutoka
Habari Corparation iliyofanyika hivi karibuni kutoka Habari Corparation.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,
Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel wa kwanza kushoto akimkabidhi
Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko kutoka Kampuni ya African Media Group Limited Bi
Resty Ngonyani moja kati ya wadhamini wa siku ya msanii duniani.
Katibu
Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel
wa kwanza kushoto akimkabidhi Bwana Hamid Abdulrahman kutoka Channel Ten moja
kati ya kampuni iliyodhamini siku ya msanii duniani
No comments:
Post a Comment