Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak
Abdulwakil akizungumza na washiriki wa Mafunzo ya awali kwa
Watumishi wa Mkataba wa Idara ya Huduma kwa
Wakimbizi(hawapo pichani),wakati alipofungua mafunzo hayo
yenye lengo la kuwajengea uwezo watumishi wapya, katika
ukumbi wa mikutano wizarani hapo,jijini Dar es Salaam.Kulia ni
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Huduma kwa Wakimbizi, Numbilya Mpolo
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mbarak
Abdulwakil akizungumza na washiriki wa Mafunzo ya awali kwa
Watumishi wa Mkataba wa Idara ya Huduma kwa Wakimbizi
wakati alipofungua mafunzo hayo yenye lengo la kuwajengea
uwezo watumishi wapya, katika ukumbi wa mikutano wa wizara,
jijini Dar es Salaam.Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya
Huduma kwa Wakimbizi, Numbilya Mpolo, kushoto ni
Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali
Watu wa Wizara hiyo, Lilian Mapfa .
Washiriki wa Mafunzo ya awali kwa Watumishi wa Mkataba wa
Idara ya Huduma kwa Wakimbizi, wakimsikiliza Katibu Mkuu wa
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil(hayupo
pichani), wakati alipofungua mafunzo hayo katika ukumbi wa
mikutano wizarani hapo,jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali
Watu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Lilian Mapfa,
akizungumza na washiriki wa Mafunzo ya awali kwa Watumishi
wa Mkataba wa Idara ya Huduma kwa Wakimbizi(hawapo
pichani),kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Utawala
na Usimamizi wa Idara ya Wakimbizi, Deusdedit Masusu.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak
Abdulwakil(watatu kutoka kushoto), akiwa katika picha ya pamoja
na washiriki wa Mafunzo ya awali kwa Watumishi wa Mkataba wa
Idara ya Huduma kwa Wakimbizi, muda mfupi baada ya kufungua
mafunzo hayo katika ukumbi wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam
wanne kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na
Usimamizi wa Rasilimali Watu wa Wizara hiyo, Lilian Mapfa na
wa pili kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Huduma kwa
Wakimbizi, Numbilya Mpolo.
(Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,MOHA)
Imeandaliwa na Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali-Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
No comments:
Post a Comment