MKANDARASI kutoka ya Mekon Consultant
Engineering ya Tanzania bara, Joseph Maradu ambayo kampuni hiyo ndio
inayolifanyia matengenezo makubwa, ofisi ya Baraza la mji Mkoani, akimpa
maelezo ya matengenezo hayo Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Mhe: Khalid
Salum Mohamed, wakati alipofika hapo kuangalia maendeleo ya matengenezo hayo, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WAZIRI wa Fedha na Mipango Zanzibar Mhe: Khalid Salum
Mohamed, akizungumza mara baada ya kukagua matengenezo ya ofisi ya baraza la
mji Mkoani Pemba, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya siku tatu kisiwani Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WAZIRI wa Fedha na Mipango Zanzibar Mhe:
Khalid Salum Mohamed akiangalia karafuu kwenye kituo cha kununulia cha ZSTC
Mkoani, wakati alipofika hapo kuangalia zoezi hilo, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MDHAMINI wa Shirika la taifa ZSTC
Pemba, Abdalla Ali Ussi, akiwa na Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Mhe:
Khalid Salum Mohamed, wakikagua karafuu ambazo zimeshanunuliwa na ZSTC kituo
cha Mkoani Pemba, (Picha na Haji Nassor,
Pemba).
WAZIRI wa Fedha na Mipango Zanzibar Mhe: Khalid Salum
Mohamed, akizungumza na wakulima za wazo la karafuu waliofika kituo cha ZSTC Mkoan kuuza karafuu zao, (Picha na Haji
Nassor, Pemba).
WAZIRI wa Fedha na Mipango Zanzibar Mhe:
Khalid Salum Mohamed akikagua karafuu ambazo tayari kawa ajili ya kusafirishwa
Unguja ambazo zimeshanunuliwa na ZSTC Mkoani wakati waziri huyo alipofika
kituoni hapo kuangalia zoezi la ununuzi wa karafuu hizo, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment