Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja, Idrissa Kitwana ametembelea jengo la Manispaliti ya Sundsvall na kukaribishwa na bendera ya Zanzibar.
Kwenye mkutano na viongozi wa Manispaliti Mkuu wa Wilaya ameelezewa jinsi Manispaliti inavyofanya kazi zake kutoa huduma kwa wananchi.
No comments:
Post a Comment