WANANCHI wa Mji wa Chake Chake wakiangalia gari
yenye namba za Usajili Z 911 EV, iliyopata ajali na kuingia kwenye kwenye
maporomoko maeneo ya Michakaeni Chake Chake, majeruhi walikimbizwa katika
hospitali ya Chake Chake.(Picha na Mpiga
picha wetu)
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment