Afisa wa Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa Mr.Marko Msambazi akitowa elimu ya Kipindupindu kwa Wajumbe wa Baraza akiwasilisha Mada hiyo kuhusiana na matumizi mabaya ya maji kwa wananchi,elimu hiyo imetolewa kwa kufikisha kwa wananchi wa majimbo yao kuzingatia matumizi ya maji safi na salama kwa jamii semina hiyo imefanyika katika ukumbi mdogo wa baraza chukwani Zanzibar.
Mradi wa PACSMAC Wabainisha Suluhisho la Changamoto za Tabianchi kwenye zao
la Kahawa
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Serikali imejipanga kuwezesha upatikanaji wa maji kwa ajili ya kilimo cha
umwagiliaji katika zao la kahawa, kwa lengo la ku...
4 hours ago



0 Comments