Afisa wa Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa Mr.Marko Msambazi akitowa elimu ya Kipindupindu kwa Wajumbe wa Baraza akiwasilisha Mada hiyo kuhusiana na matumizi mabaya ya maji kwa wananchi,elimu hiyo imetolewa kwa kufikisha kwa wananchi wa majimbo yao kuzingatia matumizi ya maji safi na salama kwa jamii semina hiyo imefanyika katika ukumbi mdogo wa baraza chukwani Zanzibar.
Tanzania Yanufaika na Mradi wa Uchumi wa Buluu
-
Mkuu wa Chuo cha Bahari (DMI) Prof. Tumaini Gurumo akiwasilisha Mradi wa
Uchumi wa Buluu na Kituo cha Mafunzo unaolenga kuimarisha rasilimaliwatu,
teknol...
39 minutes ago




No comments:
Post a Comment