Afisa wa Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa Mr.Marko Msambazi akitowa elimu ya Kipindupindu kwa Wajumbe wa Baraza akiwasilisha Mada hiyo kuhusiana na matumizi mabaya ya maji kwa wananchi,elimu hiyo imetolewa kwa kufikisha kwa wananchi wa majimbo yao kuzingatia matumizi ya maji safi na salama kwa jamii semina hiyo imefanyika katika ukumbi mdogo wa baraza chukwani Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais Z'bar Atoa Wito wa Kuulinda Muungano
-
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla ametoa wito kwa
wananchi wa Tanzania kuendelea kuulinda Muungano.
Hayo ameyasem...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment