Afisa wa Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa Mr.Marko Msambazi akitowa elimu ya Kipindupindu kwa Wajumbe wa Baraza akiwasilisha Mada hiyo kuhusiana na matumizi mabaya ya maji kwa wananchi,elimu hiyo imetolewa kwa kufikisha kwa wananchi wa majimbo yao kuzingatia matumizi ya maji safi na salama kwa jamii semina hiyo imefanyika katika ukumbi mdogo wa baraza chukwani Zanzibar.
WAKAANGA SAMAKI FERRY WAIKUBALI NISHATI YA RAFIKI BRIQUETTES
-
Dar es Salaam:
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limezindua matumizi ya Nishati yake
safi ya kupikia ya Rafiki Briquettes katika soko la Kimataifa la s...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment