Wachuuzi wa Samaki katika marikiti Kuu ya Darajani Zanzibar akiwa na samaki aina ya jodari wakijiandaa kumpima kuweza kujuwa uzito wake na kupata uzito wake na kupata uzito wake akiwa na kilo 39, katika mnada huo kilo moja ya samaki huyo imeuzwa shilingi 9000/= kwa kilo moja kwa wachuuzi wadigo katika marikiti hiyo ya samaki na kipande kimoja kiliuzwa kuazia shilingi 2000/=
MFANYABIASHARA CHIPUKIZI PEDIMA AENDELEA KUNG’ARA KATIKA UBUNIFU NA UONGOZI
TANZANIA
-
Mfanyabiashara chipukizi, Peter Didas Mallya maarufu kama PEDIMA,
ameendelea kuibua mvuto mkubwa katika tasnia ya biashara nchini kutokana na
ukuaji wa...
1 hour ago
1 Comments
Jamaniii eeenh samaki wasiekwe Chini.
ReplyDelete