Wachuuzi wa Samaki katika marikiti Kuu ya Darajani Zanzibar akiwa na samaki aina ya jodari wakijiandaa kumpima kuweza kujuwa uzito wake na kupata uzito wake na kupata uzito wake akiwa na kilo 39, katika mnada huo kilo moja ya samaki huyo imeuzwa shilingi 9000/= kwa kilo moja kwa wachuuzi wadigo katika marikiti hiyo ya samaki na kipande kimoja kiliuzwa kuazia shilingi 2000/=
Timu ya madaktari bingwa wa Dkt.Samia waanza kutoa huduma za kibingwa
mkoani Njombe
-
Timu ya madaktari bingwa 30 waliowasili mkoani Njombe wameanza kutoa huduma
katika hospitali za wilaya zote mkoani humo huku wito ukitolewa kwa
wananchi ku...
7 hours ago
Jamaniii eeenh samaki wasiekwe Chini.
ReplyDelete